Friday, 18 September 2015

Kambi Maarufu ya wahamiaji na wakimbizi, mjini Calais, nchini Ufaransa yenye kujulikana kwa jina la THE JUNGLE. Hii ni Kambi ya Wahamiaji na Wakimbizi iliyopo Mjini Calais, Ufaransa. Wengi wao ni kutoka Eritrea, Ethiopia, Libya, Afghanistan, Iran, Iraq, Sudan na Syria "Kila aliyeko kwenye kambi hii mjini Calais si kwamba anapenda au anataka kuishi hapo Calais la hasha. Kila mtu aliyepo hapo ndoto yake ni kwenda kuishi nchini Uingereza." Takriban...

Friday, 11 September 2015

Waislam Tujihadhari na Kundi ili. Miaka hii ya karibuni kumejitokeza baadhi ya watu, wakijitambulisha kwa mabandiko na picha mbalimbali za wapiganaji walioko uko Syria na Iraq, kwa jina maarufu ISIS. Kwa mtazamo wa juu kwa juu, unaweza kuona kuwa watu hao wanapigania kuwepo na serikali ya Kiislam kwa maana ya khilafa na kabla ya hapo walijitangazia kuwepo kwa Majimbo ya Kiislam yaani Islamic State. Kuna baadhi ya wanao jiita waislam...
Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) limemchagua Sheikh Abubakary Zubeiry bin Ally kuwa Mufti Mkuu wa Tanzania. Katika uchaguzi huo uliofanyika leo kwenye Ukumbi wa Africa Dream mjini Dodoma, Wajumbe maalum wa BAKWATA imemchagua Sheikh Zubeiry kwa kura 310 za ndiyo baada ya kuingia kwenye uchaguzi huo akiwa mgombea pekee. Akitangaza matokeo hayo, Mwenyekiti mstaafu wa Halmashauri Kuu ya Bakwata, Alhaji Habib Ndassiwa alisema majina...

Monday, 15 June 2015

Habari zilizotufikia muda si mrefu ni kwamba Mufti Mkuu wa Tanzania Shekh Issa Shabani Simba Amefariki dunia, leo asubuhi. Mufti Shekh Issa Shabani Simba, alikuwa akisumbuliwa na maradhi ya Kisukari kwa muda mrefu kidogo. Taarifa zaidi zinasema kuwa, Mazishi ya Mufti Simba yatafanyika leo baada ya Swalat dhuhr shambani kwake uko Kigamboni. Kwa wale wote watakaopata nafasi basi wanaweza kuudhuria Msibani nyumbani kwake Mikocheni,...

Wednesday, 12 November 2014

By Kichaa Cha Mwendawazimu Aliyechanganyikiwa%^&*()+£€?# zenu....! Leo nahisi Kichaa changu kimepanda au sijui kimepandishwa, yaani hata sielewi, kinacho endelea vichwani mwa Wabongo wanaoishi ndani ya nchi ya Wachawi Giningi, heri mie Mwendawazimu Kichaa Aliyechanganyikiwa, kwa sababu hakuna anayeweza kuniangalia mara mbili, zaidi ya wale watoto wanaopenda kunitania na wengine wakifikiria kuwa eti nimesoma sana mpaka vitabu vikiniona...
By Kichaa Cha Mwendawazimu AliyechanganyikiwaKwa wenye akili wengi wanaweza kushangaa na kichwa cha bandiko ili, watashangaa zaidi pale watakapo gundua kuwa mwandishi wake ni Mimi Mwendawazimu Kichaa aliyechanganyikiwa, Maana ukiwa na akili za Kichaa aliye changanyikiwa kama mimi, uoni tabu kuongea kile kilicho moyoni mwako kwa namna ambayo kichaa chako na uwendawazimu wako unavyo kutuma.Kama wewe ni mmoja wapo wa wenye akili, usishangae na kichwa cha habari hapo juu, kwa sababu kimeandikwa na Kichaa Mwenye Wazimu.Jambo moja unalotakiwa kufanya...
Assalamu Alaikum Wa Rahmatu Allah Wa BarakatuhKwenye jamii zetu, kuna maradhi mbalimbali yanayosumbua siha zetu, kuna huu ugonjwa ambao sina jina rasmi la kuupa, lakini unashambulia sana bongo zetu haswa sisi Waislam.Ugonjwa huu wa akili uja katika hali tofauti tofauti kulingana na mweuko wa muhusika mwenyewe. Kuna ambao wapo kwenye mashindano ya kifikra, hapa ndipo inazaliwa hali ya watu kutaka kujikweza. Kukosa au kukataa fikra zao kunakuwa kama ni fedheha, na wanakuweka kwenye kundi la ufai na kwanini huwi kama wao.Maana katika ugonjwa huu ambao...

99Graphix

99Graphix
99Graphix
Subscribe to RSS Feed Follow me on Twitter!